BASI LA LUWINZO LAPATA AJALI IRINGA

BASI LA LUWINZO LAPATA AJALI IRINGA

Like
708
0
Monday, 04 January 2016
Local News

WATU kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kufuatia ajali iliyotokea leo ikihusisha basi kampuni ya Luwinzo linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam na Njombe.

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na ameiambia Efm kuwa bado wapo eneo la Tukio ili kuweza kutambua idadi ya watu waliopoteza maisha pamoja na majeruhi.

1509709_1081784401865913_8783036141575750322_n

Comments are closed.