BOKO HARAM YATOA MKANDA MPYA WA VIDEO

BOKO HARAM YATOA MKANDA MPYA WA VIDEO

Like
176
0
Wednesday, 03 June 2015
Global News
WANAMGAMBO wa kiislamu nchini Nigeria wametoa picha mpya za video lakini Kiongozi wa Boko Haram ambaye huwa anaonekana kwenye video zao, ABUBAKAR SHEKAU hakuonekana kwenye picha hizo.
Imeelezwa kuwa kutoonekana kwa Shekau kwenye Video hiyo kumeleta hali ya wasiwasi kuhusu kuwepo kwa mgawanyiko ndani ya kundi hilo.
Hata hivyo katika picha ya video ya dakika 10imeonesha msemaji huyo anakanusha taarifa zilizotolewa na Jeshi la Serikali kuwa linadhibiti miji yote kutoka mikononi mwa wanamgambo.

Comments are closed.