Vanessa ameshinda tuzo ya Best Female East Africa kwenye Tuzo za AFRIMMA Unaweza kuitazama video ya wimbo mpya wake mpya...
Wimbo mpya kutoka kundi la Waswazi waliomshirikisha Rich Mavoko Song Nakosa Imani Producer Abba Process Video directed by Adam Juma...
Mkali wa r&b kutoka Marekani ambae pia ni muigizaji wa wa movie ya Fast and Furious Tyrese amevifungukia vyombo vya habari vinavyomilikiwa na watu weupe nchini humo kuwa na ubaguzi wa rangi. Tyres amesema kuwa redio hizo zinapiga nyimbo za R&B/Soul ambazo zimeibwa na watu weupe tu lakini sio watu weusi ambao kimsingi ndio wanafanya vizuri kwenye chart za muziki huo akiwemo yeye mwenyewe ambae albamu yake imeshika namba moja kwenye chart za muziki wa R&B/Soul album. Tyrese...
Rapa The Game ambae hapo nyuma aliwahi kuwa member wa kundi la G-Unit amesema kuwa richa ya yeye kutokuwepo kwenye kundi hilo kwa sasa lakini bado anatumia mafanikio anayoyapata kifedha kutokana na kazi za kundi hilo. Akiongea wakati wa hafla ya awali kabla ya tuzo za BET kufanyika amesema “Nina dola milioni 30n mfukoni bado natumia mkwanja kutoka G-Unit richa ya kutosikika kwenye redio “. The Game amekuwa na mahusiano mabaya na boss wa kundi hilo 50 Cent nah ii...
Video imeongozwa na Adam Juma Audio produced by Abbah Studio: Vipaji...
Diamond ameachia rasmi video ya wimbo aliomshirikisha Mr Flavour – NaNa Audio imeandaliwa na Nahreal Video imeongozwa na God Father...
Haya ndio majibu ya maswali ya muda mrefu kuhusu picha za mahaba zilizokuwa zikisambazwa na kuzua maswali iwapo kuna ukweli kwamba Ommy Dimpoz na Wema ni wapenzi. mbali na wema mshindi wa BBA Hotshot pia Idris Sultan ameshiriki kwenye video hiyo Huu ni wimbo mpya wa Dimpozi video imefanywa na kampuni ya Godfather huko Afrika...