CHELSEA MBIONI KUMYAKUA JUAN CUADRADO

CHELSEA MBIONI KUMYAKUA JUAN CUADRADO

Like
216
0
Friday, 30 January 2015
Slider

Klabu ya Chelsea ipo kwenye hatua za mwisho kumsainisha mshambuliaji Juan Cuadrado mwenye umri wa miaka 26

Juan Cuadrado ambae ni raia wa Colombia amekubaliana na dili hilo na viongozi wa ligi na klabu hivyo yupo katika hatua za mwisho za uhamiaji utakogharimu paundi milioni 26.8 kutoka kwenye klabu ya Fiorentina ya huko Italia.

 

Ujio wa Cuadrado’s katika klabu ya Chelsea unamaana yakuwa mshambuliaji mwenye umri wa miaka 24 kutokea Ujerumani Andre Schurrle kwa sasa kuna uhakika wa yeye kuondoka Stamford Bridge kabla ya jumatatu ambayo ni tarehe ya mwisho ya uhamisho

Comments are closed.