CHINA OPEN: DJOKOVIC AMBWAGA RAFAEL NADAL

CHINA OPEN: DJOKOVIC AMBWAGA RAFAEL NADAL

Like
168
0
Monday, 12 October 2015
Slider

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora kwa upande wa wanaume Novak Djokovic ametwaa taji la michuano ya wazi ya China.

Djokovic alimshinda Rafael Nadal anayeshikilia nafasi ya nane kwa ubora wa mchezo huo duniani kwa

Seti 6-2 6-2 na kushinda taji lake la sita kwa mwaka huu.

Na kwa upande wa wanawake Muhispani Garbine Muguruza alipata ushindi wa seti 7-5 6-4 dhidi ya Timea Bacsinszky na kutwaa taji la pili.

Kwa ushindi huo Muguruza anapanda mapka nafasi ya nne kwa ubora wa viwango vya mchezo huo.

Comments are closed.