CRISS BROWN AONYESHA HOFU YAKE JUU YA EBOLA

CRISS BROWN AONYESHA HOFU YAKE JUU YA EBOLA

Like
470
0
Monday, 13 October 2014
Entertanment

Criss Brown mapema leo asubuhi kuipitia mtandao wa twitter aliweka wazi mawazo yake juu ya ugonjwa wa Ebola kwa kusema kuwa

I don’t know … But I think this Ebola epidemic is a form of population control. Shit is getting crazy bruh.

akimaanisha kuwa yeye hajui ila anadhani janga la Ebola ni namna ya kudhibiti idadi ya watu, haya yanakuja siku chache mara baada ya mtu mmoja kugundulika na virusi vya ugonjwa huo nchini marekani

baadhi ya watu wameichukulia kauli hiyo ya Criss Brown kama ni hali ya hofu aliyonayo mara baada ya ugonjwa kupenya kwenye taifa lao huku Afrika ya magharibi ikikadiliwa kupoteza zaidi ya watu elfu nne (400) kwa mujibu wa W.H.O tangu kuzuka kwa ugonjwa huo

TWITER

Comments are closed.