CRISS BROWN KWENYE UTATA NA TMZ

CRISS BROWN KWENYE UTATA NA TMZ

Like
367
0
Tuesday, 30 September 2014
Entertanment

Chris-Brown

Mkali wa ngoma zinayofanya vizuri kwa sasa New frame na loyal Criss brown jana kupitia mtandao wa Instagram alimtukana meneja wa TMZ mtandao unaotoa ripoti na tetesi za mastar huko marekani.

 

tmz

Harvey Levin C.E.O wa TMZ

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Criss brown alimtukana CEO . Harvey Levin kwa kumuita shetani na kumtaka aache kumfuatilia mara moja.

Criss Brown amedai meneja huyo amekuwa akimfuatilia kwa miaka kadhaa kwa lengo la kumshusha. Hii inakuja siku chache baada ya mtandao huo kuchapisha habari inayosema mama mzazi wa Crisss brown anahofia usalama wa maisha ya mwanae kufuatia tuhuma za kujihusisha na makundi ya wahuni huko LA.

 

 

Comments are closed.