CRISTIANO RONALDO AVUNJA REKODI YA MAGOLI LIGI YA MABINGWA

CRISTIANO RONALDO AVUNJA REKODI YA MAGOLI LIGI YA MABINGWA

Like
383
0
Wednesday, 11 March 2015
Slider

 Ronaldo avunja rekodi ya magoli kwenye ligi ya mabingwa ambapo mshambuliaji huyo alishinda mabao mawili kwenye mechi ya jana na kufikisha idadi ya magoli 78.

Klabu ya real Madrid hapo jana ilipokea kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa Schalke kwenye uwanja wa nyumbani.

Aidha Cristiano Ronaldo ambae ni mchezaji wa kimataifa kutoka Ureno ameapa kutozungumza chochote kwenye hadhara hadi mwisho wa msimu wa ligi hiyo

 

10 BORA WANAOONGOZA IDADI YA MAGOLI BARANI ULAYA PAMOJA NA UEFA SUPER CUP

 

78: Cristiano Ronaldo (Sporting Lisbon, Manchester United, Real Madrid)

77: Raul (Real Madrid, Schalke)

76: Lionel Messi (Barcelona)

70: Filippo Inzaghi (Parma, Juventus, AC Milan)

67: Andriy Shevchenko (Dynamo Kyiv, AC Milan, Chelsea)

62: Gerd Muller (Bayern Munich)

62: Ruud van Nistelrooy (Heerenveen, PSV Eindhoven, Manchester United, Real Madrid, Hamburger)

59: Thierry Henry (Monaco, Arsenal, Barcelona)

59: Henrik Larsson (Feyenoord, Celtic, Barcelona, Helsingborgs)

56: Eusebio (Benfica)

Richa ya matokeo hayo ya jana  Real Madrid imepita kwenye hatua ya tano katika robo fainali za ligi ya mabingwa

2684889C00000578-2988934-Ronaldo_didn_t_see_the_funny_side_after_he_was_shown_a_yellow_ca-a-28_1426033726273

 

 

26850A1400000578-2988934-image-m-4_1426040169252

2684E17700000578-2988934-image-a-3_1426040158754

Comments are closed.