DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA The Headies NIGERIA

DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA The Headies NIGERIA

Like
271
0
Wednesday, 01 October 2014
Entertanment

Headies-Print-602x280

Tuzo hizo ambazo hapo zamani zilijulikana kama Hip-Hop World ambapo kwa mara ya kwanza zilifanyika mwaka 2006 huko Lagos. mwaka huu zinatarajiwa kufanyika tarehe 25th October 2014  Lagos ikiwa ni msimu wake wa 9

Diamond ametajwa kuwania kipengere cha  BEST AFRICAN ARTIST 

kipengere hicho kinahusisha wasanii kutoka mataifa ya Afrika wanaofanya vizuri Nigeria

Diamond atachuana na

MAFIKIZOLO
SARKODIE
R2BEES

 

Comments are closed.