DIDIER DROGBA: BADO NAHITAJI KUITUMIKIA CHELSEA

DIDIER DROGBA: BADO NAHITAJI KUITUMIKIA CHELSEA

Like
295
0
Monday, 26 January 2015
Slider

Didier Drogba amesema kuwa bado anahitaji kuitumikia klab ya Chelsea mara baada ya msimu huu wa ligi ya England

Mshambuliaji huyo wa Ivory Coast alitangaza nia yake hiyo wakati anapokea tuzo ya mwaka inayoandaliwa na shirikisho la waandishi wa habari za mpira wa miguu kwa mwaka 2015 huko London.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 ameelezea mapenzi yake kwenye klabu hiyo na kuongeza ya kuwa bado anahitaji kuwa sehemu ya klabu hiyo siku zijazo na ikibidi kucheza na wachezaji wapya na kuifanyia mengi makubwa.

Comments are closed.