ERASTO NYONI APATA AJALI

ERASTO NYONI APATA AJALI

Like
640
0
Tuesday, 04 November 2014
Slider

Beki wa Azam fc Erasto Nyoni amekutwa na mkasa mkubwa baada ya kumgonga dereva wa bodaboda katika enero la tiptop Manzese lakini akaendeklea kukimbia akiyagonga baadhi ya magari hadi katika eneo la Kijitinyama jijini Dar ambako alikwama baada ya kugonga gari la grobal publisheer.

Bada ya tulio hilo Nyoni beki wa Taifa stars alitoka kwenye gari lake aina ya toyota grande mark 11 GX 110, akaanza kujitahidi kukimbia kutokana na lundo la bodaboda kuanza kumfukuza wakitaka kumchukulia sheria mkononi hali iliyomtia hofu

kwa mujibu wa watu walioshuhudias tukio hilo walisema kuwa

beki huyo aliteremka kwenye gari wakaanza kumshambulia kama mwizi Nyoni alishambuliwa na lundo la madereva wa bodaboda lakini akafanikiwa kukimbia huku wakiendelea kumpiga na hata baadhi ya watu walipojitokeza kumsaidia waliendelea kumpiga

Nyoni alipopata nafasi ya kukimbia alitokomea pasipojulikana

Comments are closed.