JUAN MARTIN  DEL POTRO ATHIBITISHA UFALME WAKE INDIA

JUAN MARTIN DEL POTRO ATHIBITISHA UFALME WAKE INDIA

Like
367
0
Monday, 19 March 2018
Sports

JUAN POTRO ameshinda mashindano INDIAN WELLS MASTERS 2018 hayo dhidi mpizani wake Roger Federer.
Margentiana huyo ameshinda mara 17 mfulizo bila kupoteza.
Juan martin ni mchezaji wa wakimataifa wa argentina, Pia anashikilia nafasi ya sita (6) kwa ubora kwenye ranki ya dunia kwa wanamichezo wa tenesi wa kiume.

Mafanikio makubwa ya kwanza kupata ni mwaka 2009 kwenye mashindano ya US open, akimtoa Mhispania Rael Nadal kwenye mchezo wa nusu fainali.

 

Comments are closed.