JWTZ YATOA TAMKO KUHUSU VIKUNDI AMA MTU MMOJA MMOJA WANAOTUMIA SARE ZAO ISIKILIZE HAPA

JWTZ YATOA TAMKO KUHUSU VIKUNDI AMA MTU MMOJA MMOJA WANAOTUMIA SARE ZAO ISIKILIZE HAPA

Like
1462
0
Tuesday, 21 October 2014
Entertanment

baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond kufanya show akiwa na mavazi yanayosemekana kuwa ni sare ya Jeshi yeye na dancers wake, lakini pia kuonekana kwenye baadhi ya picha akiwa na mavazi hayo huku ameshika siraha na kuvuta sigara

hii ndio kauli kutoka kwa msemaji wa jeshi akisema siruhusa kwa vikundi ama mtu mmoja mmoja kutumia sare hizo, pamoja na said Fella moja ya watu wanaomsimamia Diamond akieleza kuhusu mavazi hayo

Diamond-alipanda-na-gwanda-za-jeshi

kupitia interview ya redio leo kwenye 411 Bagdad alifanya mahojiano na Fella pamoja na Msemaji wa Jeshi, ambapo Fella alisema Diamond alipata kibali cha kutumia mavazi hayo

PICHA CHINI NI RAIA AKIPEWA ADHABU BAADA YA KUKUTWA NA SARE ZA JESHI

RAIAAA RAIIIAAA

Comments are closed.