KUTANA NA DARAJA LA MAJI DUNIANI

KUTANA NA DARAJA LA MAJI DUNIANI

Like
413
0
Monday, 19 January 2015
Global News

Hili ni daraja linalopatikana nchini Ujerumani

Ujenzi wa daraja hili lenye maajabu yake duniani ulianza mnamo mwaka 1930 ambapo halikukamilika kufuatia vita kuu ya pili ya dunia hivyo ujenzi wake ulisimamishwa hadi mnamo mwaka 1997 mradi wa ujenzi uliendelezwa na lilifunguliwa rasmi mwaka 2003.

Daraja hili limekuwa likitumika na watu kusafirishia bidhaa kwa njia ya meli za mizigo lakini pia watu hutumia kuvuka upande mmoja kwenda mwingine na zaidi limekuwa kivutio kikubwa cha utalii

Daraja hili limepewa jina la Magdeburg Water Bridge

magdeburg-water-bridge2[3] magdeburg-water-bridge3[2] magdeburg-water-bridge4[2] magdeburg-water-bridge5[2] magdeburg-water-bridge6[13]

Comments are closed.