LADHANI LEO CHIN BEEZ ANA REVIEW ALBUM YAKE LIVE

LADHANI LEO CHIN BEEZ ANA REVIEW ALBUM YAKE LIVE

Like
1191
0
Tuesday, 20 March 2018
Music

CHIN BEEZ akiwa ndani ya kipindi cha Ladha 3600

CHIN BEEZ kulia akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Ladha 3600, Jabiri Salehe kushoto wakionesha cover ya cd ya Album yake

CHIN BEEZ akikamua

 

CHIN BEEZ: unajua ukizungumzia swala la Albam, tukiziweka ndani hatuwatendei haki mashabiki wetu

CHIN BEEZ: Hii ni kama zawadi nimewapa mashabiki wangu

CHIN BEEZ: Hii albam ni bure kabisa una weza kudownload kupitia wanene

CHIN BEEZ: Na sisitiza usiuziwe hii Albam, ni bure ni zawadi kwamashabiki wangu

CHIN BEEZ: Sometie kila msanii ana stayle yake unajua ehe

CHIN BEEZ: Mimi sio mkorofi ila unajua mtu ukiwa na modi furani hivi ndio unaonekana hivyo

CHIN BEEZ: Sasa mimi nafikiria maisha, yale mambo ya zamani sinaga tena meen

CHIN BEEZ: Kwa Bongo hii ndio album ya kwanza ambayo haina korabo

CHIN BEEZ: Nimeimba mwenyewe Album nzima kwa sababu nyimbo nyingi nilikuwaga nazo

CHIN BEEZ: Toka niachane Mpenzi wangu, now Sina Perment love (Nipo Single)

CHIN BEEZ: Mimi sio mtu wa starehe, mimi ni mtu wa studio

CHIN BEEZ: Hii album ina nyimbo 11 na ni bure kabisa, unaweza kuipata youtube, au unaweza ukagoogle

BOFYA HA KU DOWANLOAD NYIMBO YA MY BABY YA CHIN BEEZ

Comments are closed.