MAKALA MAALUM YA UCHAMBUZI WA SOKA TAIFA LA DRC

MAKALA MAALUM YA UCHAMBUZI WA SOKA TAIFA LA DRC

Like
422
0
Monday, 19 January 2015
Slider

Katika harakati za maandalizi ya vikosi vya timu za mataifa 16 kutoka katika bara la afrika kuelekea kunako michuano mikubwa yakusaka taifa bingwa katika mchezo wa soka inayo taraji kuanza mnamo tarehe 17/01/2015.

Leo hii macho na masikio ya mashabiki walio wengi yanataka kusikia ama kuona ni taifa gani litaibuka kidedea katika michuano hiyo? Tutazame ubora na mafanikio ya timu mojamoja ambapo kwa sasa machoyetu yanaitazama timu ya taifa ya CONGO DRC ikiwa katika kundi “B” likiongozwa na Zambia,Tunisia na Cape Verde Island.

Kikosi cha timu ya taifa CONGO DRC almaarufu(the leopards) kimetangaza kikosi cha wachezaji 24 pamoja kiongozi wa wachezaji hao YOUSSOF MULUMBU anaekipiga kunako klabu ya West Brom Wich Albion inayo shiriki ligi kuu nchini uingereza.

Wachezaji tegemezi wa CONGO DRC ni mlinda mlango ROBERT KIDIABAwa Tp mazembe ,kiungo MIALA NKULUKUTU wa Tp mazembe YOUSSOF MULUMBU wa West Brom Wich, CEDRIC MAKIADI Weder Bremen,washambuliaji ni TRESOR MPUTU mazembe na LELO MBELE wa Petro Atletico

Kocha wa timu hiyo ni FLORENT IKWANGE IBENGE ambaye ni mzawa wanchi hiyo, IBENGE amesha wahi kuvinoa vilabu mbali mbali ikiwemo klabu ya SHANGHAI SHENHUA LIANSHENG inayo shiriki ligi kuu ya nchini china.

IBENGE mara ya kwanza kukiongoza kikosi cha CONGO DRC ilikua mwaka 2008-2009 katika harakati za kuwania kufuzu katika michuano ya kombe la mataifa Afrika na hatimaye kushindwa.

CONGO DRC imewahi kushiriki michuano hiyo mikubwa barani afrika mara 16 toka ilipo anzishwa mwaka 1957na imefika hatua ya robo fainal mara2,hatua ya nusu fainali mara 6 pamoja na kutwaa ubingwa mara 2 ikiwa ni mwaka 1968 na mwaka 1974.

Mchezo wa kwanza wa timu hiyo utapigwa saa moja usiku tarehe 18/01/2015 dhidi ya Zambia mchezo utakaochezwa katika uwanja wa ESTSDIO DE BATA wenye uwezo wa kubeba mashabiki 357,00 uliopo mjini BATA huko EQUTORIA GUINE.

# Pos. Player Date of birth (age) Caps Goals Club
1 GK Robert Kidiaba 1 February 1976 (age 38) 41 0  Mazembe
16 GK Parfait Mandanda 10 October 1989 (age 25) 7 0  Charleroi
23 GK Hervé Lomboto 27 October 1989 (age 25) 2 0  Vita Club
5 DF Miala Nkulukutu 6 September 1982 (age 32) 26 0  Mazembe
3 DF Kilitcho Kasusula 5 August 1986 (age 28) 25 0  Mazembe
21 DF Cédric Mongongu 22 June 1989 (age 25) 22 0  Évian
18 DF Patou Ebunga-Simbi 6 August 1983 (age 31) 13 2  Vita Club
22 DF Chancel Mbemba Mangulu 8 August 1994 (age 20) 4 0  Anderlecht
2 DF Bobo Ungenda 19 November 1989 (age 25) 4 0  Motema Pembe
12 DF Manitu Matondo 3 September 1992 (age 22) 0 0  Motema Pembe
10 MF Zola Matumona 26 November 1981 (age 33) 45 8  Mons
14 MF Youssouf Mulumbu 25 January 1987 (age 27) 21 1  West Bromwich Albion
6 MF Cédric Makiadi 23 February 1984 (age 30) 19 2  Werder Bremen
13 MF Distel Zola 5 February 1989 (age 25) 7 0  Le Havre
19 MF Gabriel Zakuani 31 March 1986 (age 28) 5 0  Peterborough
20 MF Hervé Ndonga 2 May 1992 (age 22) 2 0  Mazembe
15 MF Mukoko Mayayi 18 March 1988 (age 26) 1 0  Motema Pembe
4 MF Tychique Ntela 12 December 1987 (age 27) 1 0  AC Léopards
8 FW Trésor Mputu 10 December 1985 (age 29) 43 14  Mazembe
17 FW Lelo Mbele 10 August 1987 (age 27) 13 1  Petro Atlético
7 FW Eric Bokanga 9 October 1989 (age 25) 8 1  Mazembe
11 FW Mbidi Mavuanga 1 June 1994 (age 20) 1 0  Motema Pembe
9 FW Jacob Little 6 May 1995 (age 19) 0 0  SPCCFC

Comments are closed.