MFANYAKAZI MWINGINE WA EBOLA AGUNDULIKA MAREKANI

MFANYAKAZI MWINGINE WA EBOLA AGUNDULIKA MAREKANI

Like
279
0
Wednesday, 15 October 2014
Global News

Mgonjwa mwingine wa Ebola amegundulika huko marekani kwenye hospitali ya  jimbo la Texas ambapo kwa mara ya kwanza kisa cha kuwepo kwa ugonjwa huo kiliripotiwa baada ya Thomas Dancun raia wa Liberia kupatiwa matibabu katika hospitali hiyo.

Baadae Thomas Dancun alifariki dunia oct 8 akiwa chini ya uangalizi wa wahudumu wa afya kwenye kituo cha Texas Presbyterian

mgonjwa huyo ambae jina lake halikutajwa kuna uwezekano mkubwa alipata virusi hivyo wakati akimuhudumia Texas Presbyterian

Kwa mujibu wa Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas amethibitisha kutokea tukio na kusema kwamba ”Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”

MAREKAN

 

Comments are closed.