MIAKA MINNE (IV) E-FM YAANZA NA MSIMU WA SHIKA NDINGA.

MIAKA MINNE (IV) E-FM YAANZA NA MSIMU WA SHIKA NDINGA.

Like
586
0
Tuesday, 27 March 2018
Local News

 

Katika kusherekea Miaka minne ya uwepo wa E Fm radio tunayo furaha sana na tuna kila sababu za kusherekea uwepo wetu.

Wakati tunaanza tulikuwa na wafanyakazi 10 tu lakini leo hii E-fm imeajiri wafanyakazi zaidi ya 100 moja, wakati tunaanza tulikuwa tunasikika Dar-es-alaam pekee lakini leo hii E-fm inasikika kwenye mikoa 6 pia tumeweza kuwawezesha wadau wetu na mdau wetu mkubwa ni msikilizaji wa E-fm tukiwa na bidhaa kama SHIKA NDINGA ambapo tumefanikiwa kutoa magari ya biashara pamoja pikipiki maarufu kama bodaboda, tunayo pia bidhaa ya Sakasaka tumeweza kutoa mitaji lakini pia bidhaa yetu ya mchizi wangu tumemuwesha ‘Single Mother’ kwa kuwapatia mahitaji yao”.

#SHIKA NDINGA

Comments are closed.