MKUTANO WA CAPACITY AFRICA 2014 WAFANYIKA DAR

MKUTANO WA CAPACITY AFRICA 2014 WAFANYIKA DAR

Like
249
0
Thursday, 16 October 2014
Local News

KAMPUNI mbalimbali za Mawasiliano Ulimwenguni zimekutana kwenye Mkutano wa CAPACITY AFRICA 2014 wakishirikiana na Tanzania kupitia Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia.

Akizungumza katika mkutano huo Naibu waziri wa Mawasiliano sayansi na teknolojia, JANUARY MAKAMBA amesema lengo la mkutano huo ni

 MAKAMBA….

Kwa upande wake mkuu wa masoko na mauzo wa kampuni ya simu Tanzania- TTCL, PETER NGOTA, amezungumzia pia mipango mbalimbali ya kampuni hiyo

Wakifurahia fursa zilizojitokeza Wananchi walioudhuria mkutano huo walikuwa na haya ya kusema

 

Comments are closed.