Naibu waziri, Juliana shonza aeleza mkakati wa serikali kuinua soka la Tanzania

Naibu waziri, Juliana shonza aeleza mkakati wa serikali kuinua soka la Tanzania

1
681
0
Wednesday, 11 April 2018
Local News

Serikali kupitia kwa Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza imesema kuwa inatambua katika kuhakikisha michezo ikiwepo soka inaimarika nchini, imeendelea kundesha mashindano mbalimbali ya michezo mashuleni kitaifa ikiwepo umiseta na umitashunta.

Waziri Shonza ameyasema hayo bungeni akiwa anajibu swali la Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Mussa Ramadhani Sima aliyetaka kufahamu mikakati ya Serikali juu kuinua soka la Tanzania.

Comments are closed.