PAPA FRANCIS AITAKA G20 KUWAFIKIRIA WATU MASIKINI DUNIANI

PAPA FRANCIS AITAKA G20 KUWAFIKIRIA WATU MASIKINI DUNIANI

Like
272
0
Wednesday, 12 November 2014
Global News

PAPA Mtakatifu FRANCIS ametaka viongozi Duniani wanaoshiriki Mkutano wa G20 mjini Brisbane kuwafikiria watu Masikini Ulimwenguni.

Amewataka Viongozi hao kupata ufumbuzi wa kuimarisha hali ya maisha ya watu walio masikini.

Viongozi wa nchi 20 zilizo na uchumi mkubwa wanakutana Brisbane nchini Australia mwishoni mwa juma hili kujadili maswala mbalimbali yahusuyo uchumi.

Comments are closed.