RIHANNA AWA BALOZI WA KIMATAIFA WA BIDHAA ZA PUMA

RIHANNA AWA BALOZI WA KIMATAIFA WA BIDHAA ZA PUMA

Like
498
0
Wednesday, 17 December 2014
Entertanment

Mwimbaji mwenye umri wa miaka 26 kutoka Marekani Rihanna kwa sasa yupo huko Herzogenaurach, nchini Ujerumani kumalizia dili alilopewa na kampuni ya Puma kuwa balozi mpya wa kimataifa wa bidhaa za michezo za Puma

Rihanna atakuwa mkurugenzi kwenye idara ya ubunifu kwa upande wa wanawake atakaeanza kutoa mafunzo kwa jamii mapema mwakani, mkataba huo utadumu kwa miaka kadhaa

Kupitia mtandao wa Instagram Rihanna alishea picha akiwa amevaa baadhi ya bidhaa za Puma kama sehemu ya kutangaza bidhaa hizo

Rihanna-1-598x600 Riri-600x600

Comments are closed.