RIO2016: KISANGA CHA MAJI KUBADILIKA RANGI KUPATIWA UFUMBUZI

RIO2016: KISANGA CHA MAJI KUBADILIKA RANGI KUPATIWA UFUMBUZI

Like
253
0
Thursday, 11 August 2016
Slider

Waandaaji wa michuano ya Rio wamesema kuwa Bwawa la kuogelea litarudi kwenye rangi yake ya awali baadaye hii leo, baada ya kubadilika na kuwa na rangi ya kijani siku ya jana wakati michuano hiyo ikiendelea.

Kwa mujibu taarifa ya yake maji ya bwawa hilo yalibadilika rangi kutokana na kuzidi kwa kiwango cha Alkalini.

Amesema kuwa wapimaji wa maji hawakujali wingi wa waogeleaji kama wataathiriwa na kiwango cha PH, na Chlorine.

Washindanaji walisema ilikuwa vigumu kuwaona wenzao kwenye maji ya kijani.

Waandaaji wa Michuano ya Rio wamesema maji hayo hayana athari yoyote kiafya.

Comments are closed.