SERIKALI KUFUNGA MITAMBO YA VIDEO CONFERENCE KATIKA OFISI ZAKE

SERIKALI KUFUNGA MITAMBO YA VIDEO CONFERENCE KATIKA OFISI ZAKE

Like
277
0
Tuesday, 07 October 2014
Local News

Serikali imeahidi kufunga Mitambo ya Video Conference katika Ofisi za Halmashauri za Wilaya na Mikoa pamoja na Vituo vya Polisi vya Wilaya ili kurahisisha Mawasiliano na kupunguza gharama za vikao katika taasisi zake ifikapo mwaka 2015.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa MAKAME MBARAWA

Profesa MBARAWA amesema tayari Serikali imeunganisha baadhi ya Mikoa katika Mkongo wa Mawasiliano

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mafunzo kwa njia ya Mtandao -TAGLA CHARLES SENKONDO amesema mfumo huo wa umesaidia Watanzania

 

 

 

Comments are closed.