SHEDY CLEVER DIAMOND NI KITOVU CHA KAZI ZANGU ZA KIMATAIFA TIWA SAVAGE & K CEE

SHEDY CLEVER DIAMOND NI KITOVU CHA KAZI ZANGU ZA KIMATAIFA TIWA SAVAGE & K CEE

Like
707
0
Friday, 03 October 2014
Entertanment

Mtayarishaji wa kazi za muziki wa Bongo fleva hapa nchini amezungumzia jinsi Diamond alivymuunganisha na Wasanii wa kimataifa na kuweza kufanya kazi nao.

miongoni mwa wasanii hao ni Tiwa savage  pamoja na K cee wote kutoka Nigeria na mataifa mengine ya Africa, Shedy aliyasema hayo siku ya jana kwenye birthday ya Diamond

Comments are closed.