SUDANI KUSINI: WATU 29 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA KIPINDUPINDU

SUDANI KUSINI: WATU 29 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA KIPINDUPINDU

Like
178
0
Friday, 03 July 2015
Global News

WATU 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine elfu moja wakiwa katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo.

Takriban visa 484 vya ugonjwa huo ikiwemo vifo 29 ambavyo sita kati yake ni vya watoto wa chini ya umri wa miaka mitano idadi iliyoripotiwa mwishoni mwa mwezi Juni kutoka ofisi ya mratibu wa masuala ya kibinaadamu katika umoja wa kimataifa.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo watoto elfu tano walio chini ya umri wa miaka mitano wako hatarini kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo ikiwa hatua za dharura hazitachukuliwa za kupambana nao.

150623235343_south_sudan_cholera_children_640x360_getty 150623104212_south_sudan_cholera_640x360_reuters_nocredit

150623235225_south_sudan_cholera_children_640x360_getty

Comments are closed.