chirwa

CHIRWA ASAJILIWA DARAJA LA PILI MISRI
Sports

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga raia wa Zambia, Obrey Chirwa rasmi Klabu ya Nogoom El Mostakbal Football Club. MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga raia wa Zambia, Obrey Chirwa rasmi amesaini mkataba na Klabu ya Nogoom El Mostakbal Football Club ya nchini Misri.   Mshambuliaji huyo amejiunga na timu hiyo baada ya mkataba wake wa miaka miwili ya kuendelea kuichezea Yanga kumalizika kabla ya kutimkia Misri. Obrey Chirwa enzi akiwa Yanga. Mzambia huyo baada ya mkataba wake kumalizika aliuomba uongozi wa...

Like
472
0
Friday, 13 July 2018