nanenane

Serikali Yaondoa zuio la Kuuza Mazao Nje ya Nchi
Local News

Serikali imeondoa zuio la kuuza mazao nje ya nchi ili kutoa fursa soko na mapato kwa wakulima. Hata hivyo, wanaotaka kuuza mazao nje ya nchi watalazimika kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Uamuzi huo umetangazwa leo Agosti 8 na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa alipokuwa akiyafunga rasmi maonyesho ya Kitaifa ya Nanenane katika viwanja vya Nyakabindi wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu. “Hata hivyo, lazima kila mwananchi kuanzia ngazi ya kaya kuhakikisha uwepo wa akiba na usalama wa chakula,” amesema Mkapa Amewataka...

Like
540
0
Wednesday, 08 August 2018