Serikali ya Ethiopia

Ethiopia yatia saini mkataba wa kumaliza uhasama na waasi wa Oromo Liberation Front – OLF
Local News

Serikali ya Ethiopia imetia saini muafaka wa amani na kundi moja kuu la waasi nchini humo Oromo Liberation Front- OLF, ili kukomesha uhasama nchini humo. Awali utawala huko Addis Ababa ulitangaza kuwa sasa kundi hilo halitaitwa la kigaidi kama ilivyokuwa ikijulikana hapo awali. Hayo yametangazwa muda mfupi uliopita na Runinga ya taifa nchini Ethiopia ambapo mkataba huo umesainiwa katika mji mkuu wa Eritrea ambapo ndio makao makuu ya OLF. Waziri wa habari wa Eritrea Yemane Gebremeskel amesema kwa sasa OLF...

Like
297
0
Wednesday, 08 August 2018