tadei

Mwanasiasa wa Zimbabwe Tendai Biti anyimwa hifadhi Zambia
Local News

Mwanasiasa wa cheo cha juu kwenye muungano wa upinzani nchini Zimbabwe MDC Tendai Biti amenyimwa hifadhi kwenye taifa jirani la Zambia. Polisi wa Zimbabwe wanamlaumu Bw Biti kwa kuchochea ghasia kufuatia uchaguzi wa mwezi uliopita. Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Zambia Joe Malanji aliiambia BBC kuwa vigezo vya vyake kuomba hifadhi vilikuwa dhaifu. Alizuiwa eneo salama hadi pale aliporejeshwa Zimabwe, waziri alisema. Mapema wakili wake alisema mteja wake alikuwa amezuiwa kwenye mpaka na Zambia na mamlaka za...

Like
385
0
Thursday, 09 August 2018