world cup 2018

Ratiba ya 16 Bora Kombe la Dunia  2018
Sports

Alhamisi ya June 28 tumeshuhudia michuano ya Kombe la Dunia 2018 hatua ya makundi ikimalizika kwa Afrika kupoteza timu zote 5 katika hatua ya makundi kutokana na kukosa point za kutosha kuingia hatua ya 16 bora. Katika hatua hiyo ya makundi timu zote 5 za Afrika zimeyaaga mashindanl hayo kutokana na kukosa alama za kuwavusha kwenye hatua hiyo ya makundi. Timu 16 zilizofuzu hatua ya 16 bora ni Ubelgiji, England, Argentina, Colombia, Japan, Croatia, Hispania na Ureno. Nyingine ni Brazil,...

1
574
0
Friday, 29 June 2018
Kombe la Dunia Kuanza kensho na Wenyeji Urusi Dhidi ya Saudi Arabia
Sports

Imebaki siku moja kuanza kwa Mashindano ya Kombe la dunia litakalo anza kule Urusi kesho Alhamisi tarehe 14 kati ya Wenyeji Urusi dhidi ya Saudi Arabia. Timu zipo 32 ambazo ni hizi hapa Kundi A: Russia, Saudi Arabia, Egypt na Uruguay Kundi B Morocco, Iran, Portugal na Spain Kundi C France, Australia, Peru na Denmark Kundi D Argentina, Iceland, Croatia, Nigeria Kundi E Costa Rica, Serbia, Brazil na Switzerland Kundi F Germany, Mexico, Sweden na South Korea Kundi G Belgium,...

Like
588
0
Wednesday, 13 June 2018