TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA

TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA

Like
186
0
Tuesday, 10 November 2015
Local News

IKIWA  ni miaka  40  tangu  kuwepo kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa  Tanzania   na jumuiya ya umoja wa nchi  za ulaya, wito umetolewa kwa serikali ya Tanzania kuhakikisha inaendeleza  ushirikiano na jumuiya ya umoja huo.

 

Rai hiyo imetolewa leo Jijini  Dar es salaamu  na balozi wa jumuiya ya umoja wa nchi za ulaya Filiberto Sebregondi wakati wa uzinduzi wa kitabu chenye kuelezea ushirikiano kwa vitendo  baina ya jumuiya ya  ulaya na nchi za Afrika Mashariki.

 

SEGREGONDI ameeleza kuwa ushirikiano baina ya nchi hizo umedunu kwa muda mrefu kutokana na kuwepo na utekelezwaji wa mipango mbalimbali ya kimaendeleo ikwemo kilimo, huduma za jamii na nishati mbadala.

Comments are closed.