URUSI YAZINDUA NEMBO YA KOMBE LA DUNIA 2018 KWENYE CHOMBO CHA ANGA

URUSI YAZINDUA NEMBO YA KOMBE LA DUNIA 2018 KWENYE CHOMBO CHA ANGA

Like
458
0
Wednesday, 29 October 2014
Slider

Kuelekea michuano ya kombe la dunia mwaka 2018, Taifa la Urusi lazinduwa rasmi nembo itakayotumika katika michuano hiyo mikubwa ya mpira wa miguu iliyo chini ya FIFA.

Nembo hiyo ilizinduliwa katika chombo cha uchunguzi wa kisanyasi wa anga na baadaye kuonyeshwa katika jiji la Moscow.

Urusi ilipata haki ya kuandaa michuano hiyo ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza kwa kuzipiku nchi kama England, Spain-Ureno na Uholanzi-Ubelgiji mwaka 2010.

Shirikisho la soka duniani (FIFA) ilijikuta katika kashfa nzito kwa kuwatangaza Urusi kama washindi wa kuandaa michuano hiyo pamoja na ile ya mwaka 2022 huko nchini Qatar

RASHIA

 

Comments are closed.