WATANZANIA LEO WANAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KUFARIKI KWA HAYATI BABA WA TAIFA

WATANZANIA LEO WANAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KUFARIKI KWA HAYATI BABA WA TAIFA

Like
389
0
Tuesday, 14 October 2014
Local News

WATANZANIA leo wanaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere .

Kufuatia maadhimisho hayo, Wananchi jijini Dar es salaam wamewataka viongozi wa serikali kufuata miongozo na maadili mbalimbali katika kujenga, kulinda na kudumisha amani ya Nchi.

Akiongea na EFM mmoja wa wananchi amesema pamoja na juhudi za viongozi waliopo madarakani bado zipo changamoto mbalimbali.

Hayati baba wa taifa Julius Nyerere alifariki Dunia Oktoba 14 mwaka 1999.

***

 

Comments are closed.