WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA URENO AJIUZULU

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA URENO AJIUZULU

Like
278
0
Monday, 17 November 2014
Global News

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI wa Ureno amejiuzulu kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za rushwa inayohusishwa na utoaji vibali vya mgawo wa makazi.

MIGUEL MACEDO amesema hahusiki na kashfa hiyo lakini amejiuzulu kulinda heshima ya Taasisi za Serikali.

Taarifa zimebainisha kuwa Polisi wamewakamata watu 11, akiwemo Mkuu wa Idara ya Uhamiaji nchini humo, siku ya Alhamisi.

Comments are closed.