ZARI VS HUDDAH WATAMBA NA MIKOKO YA KUFUNGA MWAKA

ZARI VS HUDDAH WATAMBA NA MIKOKO YA KUFUNGA MWAKA

Like
614
0
Tuesday, 16 December 2014
Entertanment

 

Zari the boss lady kwa sasa amerejea nchini Uganda tayari kujiaandaa na show yake ya all white party ikiwa ni siku wiki chache toka kuvuja kwa mkanda wake wa ngono kwenye mitandao ya kijamii kupelekea kuandamwa na matusi kutoka kwa mashabiki na skendo kadhaa za kuwa na mahusiano na Diamond.

Zari amerejea Kampala na mkoko mpya ambao ni convertible Mercedes Benzi yenye uwezo wa kujibadili

Inasemekana pia huenda gari hilo limetoka kwa aliekuwa mumewe Ivan

zari-ride

Lakini diva wa Kenya nae Huddah Monroe hakuwa mbali kwenye msimu huu wa sikuu baada ya kununua mkoko aina ya Range rover

Nakuliandikia maneno yafuatayo kwenye mitandao ya kijamii

Ombea adui yako aishi siku nyingi . Ili unapo barikiwa ajioneeeee!… . No one can block the blessings that God has planned for you because Who Jah bless , no man curse! This is a GIFT from GOD! MY Aphrodisiac,My Dime Piece, my Husband, . Christmas just came early! #Thankful! #RangeRover #Anon #SexOnWheels #Blessings #BossChick!

Star huyo hivi karibuni alionekana na moja ya don wa nchini Uganda ambae ni Lawrence, inasemekana huenda gari hilo limetoka kwa jamaa huyo

Unknown

Comments are closed.