AFCON: KUFA AMA KUPONA ZAMBIA KUINGIA DIMBANI LEO

AFCON: KUFA AMA KUPONA ZAMBIA KUINGIA DIMBANI LEO

Like
319
0
Monday, 26 January 2015
Slider

Mabingwa watetezi Afcon Zambia wanatakiwa kuendeleza ubabe leo dhidi ya Cape Verde ili kuendeleza matumaini yao ya kufika robo fainali ya michuano hiyo inayofanyika Equatorial Guinea

Zambia wana wakati mgumu katika kundi B ambapo wanaomba Tunisia wanaoongoza kundi hilo watoke suluhu au wafungwe na DRC

Kwa sasa Tunisia wana pointi nne wakifuatiwa na Cape Verde na Drc huku Zambia ikiwa katika nafasi ya pili

Comments are closed.