MAAJABU YA EQUATORIAL GUINEA MICHUANO YA AFCON

MAAJABU YA EQUATORIAL GUINEA MICHUANO YA AFCON

Like
251
0
Monday, 26 January 2015
Slider

Kocha wa Equatorial Guinea Esteban Becker ameeleza mafanikio na malengo ya taifa hilo mwenyeji wa michuano hiyo katika kufikia robo fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika na kufananishwa na hadithi za Cinderela baada ya kuichapa Gabon

2-0 siku ya Jumapili.

“Ni hadithi ya Cinderela ambapo temu kapuku ilipoichapa timu tajiri kwa faida. Shukran kwa kujitolea sadaka. Kujidhati kwao, uzalendo na mapenzi yao” alisema kocha huyo raia wa Argentina

ni story itakayokumbukwa kwa Becker mwenyewe kwani alichaguliwa kuwa kocha wa kikosi hicho mwanzoni mwa mwezi huu

Comments are closed.