AFCON: MOUSSA SOW AIINUA SENEGAL

AFCON: MOUSSA SOW AIINUA SENEGAL

Like
339
0
Tuesday, 20 January 2015
Slider

Mshambuliaji wa Senegal Moussa Sow jana aliinua timu yake baada ya kufunga bao la muda wa lala salama hivyo kuifanya Senegal kuibuka na ushindi dhidi ya Black stars ya Ghana

 

Bao hilo lilipatikana mnamo dakika ya 90 na kuipa Senegal alama zote tatu

Mchezaji wa Ghana Andrew Ayew alifunga mkwaju wa Penalti baada ya kiungo wa kati wa Everton Christian Atsu kuangushwa katika eneo la hatari.

Lakini Senegal ilijitahidi na kupiga chuma cha goli la Ghana kupitia mchezaji Kara Mbodj,kabla ya mshambuliaji wa Stoke Mame Biram Diouf kufunga bao la kusawazisha huku Mousa Sow akifunga bao la Ushindi.

SOU SAOU2

 

 

Comments are closed.