ALICHOSEMA KIKWETE BAADA YA KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI IKULU LEO

ALICHOSEMA KIKWETE BAADA YA KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI IKULU LEO

Like
962
0
Tuesday, 23 October 2018
Local News

Mhe. Rais John P amagufuli akiwa na Rais mstaafu Mhe. J Kikwete

“Nimekuja kumsalimia nakumtakia kila la heri, anafanya kazi nzuri, aendelee tu kuchapa kazi na sisi tupo kwa namna yoyote ya kumpa nguvu, tupo tayari kumsaidia” amesema Mhe. Rais Mstaafu Kikwete.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 23 Oktoba, 2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Baada ya mazungumzo yao Mhe. Rais Mstaafu Kikwete amesema wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu.
Aidha, Mhe. Rais Mstaafu Kikwete amebainisha kuwa Mhe. Rais Magufuli anafanya kazi nzuri na amemtaka aendelee hivyo hivyo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *