BAJETI YA UPINZANI YAZUIWA BUNGENI, WENYEWE WASUSA

BAJETI YA UPINZANI YAZUIWA BUNGENI, WENYEWE WASUSA

Like
460
0
Monday, 18 June 2018
Local News

Hotuba ya Bajeti mbadala ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imekataliwa bungeni kutokana na kuwasilishwa nje ya utaratibu. Wabunge wa upinzani (isipokuwa wanaomuunga mkono Prof Lipumba ) wameondoka kwenye ukumbi wa Bunge.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *