BALCELONA YAIDHIBU  CHELSEA NA KUITOA NJEE YA MASHINDANO YA UEFA CHAMPIONI LIGI

BALCELONA YAIDHIBU CHELSEA NA KUITOA NJEE YA MASHINDANO YA UEFA CHAMPIONI LIGI

Like
599
0
Thursday, 15 March 2018
Slider

 

Baada ya Manchester United Jana kutupwa nje na Sevilla kutoka Hispain kwa kufungwa mabao 2-1, jana usiku ilikuwa ni zamu ya Chelsea Kutupwa Nje ya Mshindano ya Kombe la UEFA Championi Ligi na kufungwa Na Barcelona Mabao 3-0, magoli ya Barcelona yaliwekwa kimyani na Messi ambaye alifunga mabao 2, goli la kwanza alifunga dakika ya 2 na goli lake la pili alifunga kwenye dakika ya 63, na goli la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 20.

Kwa matokeo hayo Chelsea imeondoshwa kenye mashindano hayo kwa jumala ya mabaol 4-1, kutokana mchezo wa awali ulichezwa England timu hizo zilitoka sare ya 1-1.

Juzi Manchester United ilifungwa na Sevilla ya Hispain, na jana Chelsea ilifungwa na timu kutoka Hispain,

JE KWA MATOKEO YA JUZI MANCHESTER DHIDI YA SEVILLA, NA JANA USIKU MATOKEO YA CHELSEA DHIDI YA BARCELONA

KUNAUISHI TENA LIGI YA UINGEREZA NI BORA KULIKO YA HISPAIN ?

Comments are closed.