barcelona

BALCELONA YAIDHIBU  CHELSEA NA KUITOA NJEE YA MASHINDANO YA UEFA CHAMPIONI LIGI
Slider

  Baada ya Manchester United Jana kutupwa nje na Sevilla kutoka Hispain kwa kufungwa mabao 2-1, jana usiku ilikuwa ni zamu ya Chelsea Kutupwa Nje ya Mshindano ya Kombe la UEFA Championi Ligi na kufungwa Na Barcelona Mabao 3-0, magoli ya Barcelona yaliwekwa kimyani na Messi ambaye alifunga mabao 2, goli la kwanza alifunga dakika ya 2 na goli lake la pili alifunga kwenye dakika ya 63, na goli la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 20. Kwa matokeo...

Like
601
0
Thursday, 15 March 2018