Local News

JAMII IMETAKIWA KUEPUKA UHARIBIFU WA MAZINGIRA
Local News

KATIKA kupambana na athari za mabadiliko ya Tabia nchi ikiwemo ongezeko kubwa la Joto Duniani, Mamlaka ya hali ya hewa kwa kushirikiana na Wakala wa misitu Nchini, wameitaka jamii kuepuka uharibifu wa mazingira na kuongeza kasi ya upandaji miti .   Hayo yamebainishwa leo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Nchini Dokta Agness Kijazi alipozungumza na Waandishi wa habari katika maadhimisho ya Siku ya hali ya hewa Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 23mwezi wa tatu Duniani...

Like
217
0
Wednesday, 23 March 2016
PROFESA MUHONGO: MILANGO YA UWEKEZAJI IKO WAZI KWA MATAIFA YOTE KUWEKEZA TANZANIA
Local News

WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa milango ya uwekezaji iko wazi kwa Mataifa yote duniani yenye nia thabiti ya kufanya hivyo nchini Tanzania.   Profesa Muhongo ameyasema hayo jijini Dar Es Salaam wakati wa kikao chake na Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku ambaye alifika Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini kufahamu zaidi nafasi za uwekezaji kwa ajili ya manufaa ya Kampuni za uwekezaji za Afrika Kusini.   Katika kikao hicho, Profesa Muhongo amemueleza Balozi...

Like
261
0
Tuesday, 22 March 2016
WAZIRI MKUU AAGIZA CAG KUKAGUA MAMLAKA YA BANDARI TPA
Local News

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali –CAG-aende Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ili akakague taarifa za mapato ambazo zilikuwa zikilipwa na mawakala wa forodha na bandari kupitia benki ya CRDB lakini hazionekani kwenye mifumo ya benki.   Mheshimiwa Majaliwa ametoa agizo hilo jana wakati akizungumza na mamia ya mawakala wa forodha na bandari waliohudhuria mkutano aliouitisha ili kusikiliza kero zinazowapata katika utendaji wao wa kazi.   Mbali na...

Like
236
0
Tuesday, 22 March 2016
TPA YATOA MSAADA HOSPITALI YA WILAYA KISARAWE
Local News

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetoa msaada wa Vitanda 20, Magodoro 20 na Shuka 100 kwa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani.   Vitanda hivyo vya kisasa aina ya ‘Cardiac, mashuka pamoja na magodoro yake vilivyokabidhiwa katika hospitali hiyo ya wilaya vina thamani ya shilingi za kitanzania milioni 13.   Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo, Meneja Mawasiliano wa TPA, Bi. Janeth Ruzangi amesema msaada huo ni sehemu ya wajibu wa Mamlaka kuisaidia jamii ya Watanzania.  ...

Like
299
0
Monday, 21 March 2016
ZOEZI LA KUHESABU KURA LAENDELEA ZANZIBAR
Local News

ZOEZI la kuhesabu kura linaendelea visiwani Zanzibar baada ya uchaguzi wa marudio uliofanyika jana. Imeelezwa kwamba idadi ndogo ya wapiga kura imejitokeza kushiriki katika uchaguzi huo ambao ulisusiwa na baadhi ya vyama vikuu vya upinzani. Nchi nyingine za Afrika ambazo zimefanya Uchaguzi jana ni pamoja na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Niger na nchi ya Cape Verde ambapo tayari chama kikuu cha upinzani nchini humo MPD kimeshinda baada ya uchaguzi wa jana kwa zaidi ya asilimia 53 huku mkuu wa...

Like
225
0
Monday, 21 March 2016
BRAZIL: MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUTAWANYA WAANDAMANAJI
Local News

POLISI nchini Brazil wamefyatua mabomu ya kutoa machozi kuwazuia waandamanaji kutoka makao makuu ya rais Dilma Roussef. Maelfu ya watu wanaotaka aachie madaraka waliandamana katika mji mkuu Brasilia. Wanamlaumu rais Roussef na chama chake cha workers party kwa ufisadi, lakini pia kulikuwa na maandamano ya kumpinga Roussef katika mji mkubwa zaidi nchini Brazil wa Sao...

Like
218
0
Friday, 18 March 2016
TASAF YAPATIWA DOLA MILIONI 665 KUNUSURU KAYA MASIKINI
Local News

SERIKALI ya Tanzania imesaini mkataba wa makubaliano wa jumla ya Dola za Kimarekani milioni 665 na Wadau wa Maendeleo ili kusaidia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini nchini.   Mkataba huo ambao umetiwa saini jijini Dar es Salaam unawataka watendaji kuweka utaratibu ambao unaenda sambamba na Mpango wa utekelezaji bila kuingilia majukumu ya mamlaka ya Serikali katika utekelezaji wa TASAF wa kunusuru kaya masikini.   Akizungumzia mkataba huo mara baada ya kusaini kwa niaba...

Like
211
0
Friday, 18 March 2016
RAIS MAGUFULI AKABIDHI GARI LA KUBEBEA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA CHALINZE
Local News

RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania dokta John Pombe Magufuli amekabidhi gari la kubebea wagonjwa kwa Hospitali ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ikiwa ni utekelezaji wa ilani na ahadi ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi-CCM-kwa wananchi wa Jimbo hilo. Akikabidhi gari hilo leo Ikulu Jijini Dar es salaam kwa mbunge wa Jimbo la Chalinze mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kwa niaba ya Mheshimiwa Rais, Katibu Mkuu Ikulu Peter Ilomo amesema gari hilo limetolewa na Rais ikiwa ni kuitikia wito wa...

Like
304
0
Friday, 18 March 2016
JWTZ YAKANUSHA KUPELEKA MAJESHI ZANZIBAR
Local News

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limekanusha taarifa zilizoenea katika mitandao ya kijamii kuwa, limepeleka Wanajeshi wengi visiwani Zanzibar kwa ajili ya kudhibiti Usalama wakati wa kipindi cha uchaguzi wa marudio unaotarajia kufanyika Machi 20 mwaka huu.   Jeshi hilo limesema kuwa Habari hizo siyo za kweli na zina lengo la kupotosha Umma kwani JWTZ lina Wanajeshi visiwani Zanzibar wakati wote kwa majukumu yake ya msingi ya Ulinzi wa Taifa hivyo hakuna Mwanajeshi yeyote aliyeongezwa zaidi ya wale...

Like
265
0
Thursday, 17 March 2016
WZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI 2 CHATO
Local News

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwa tuhuma za ubadhirifu, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka.   Watumishi hao ni Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika, bwana Mwita Mirumbe Waryuba pamoja na Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya, Dioniz Mutayoba.   Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana usiku alipokuwa akizungumza na watumishi wa idara zote na taasisi zilizomo kwenye wilaya ya Chato katika mkutano...

Like
360
0
Thursday, 17 March 2016
MCHAKATO WA KUMALIZA KERO YA MIUNDOMBINU WAANZA KUFANYIWA KAZI TANDIKA
Local News

DIWANI wa kata ya Tandika Ramadhani Litumangiza amesema kuwa mchakato wa kuimaliza kero kubwa ya miundombinu ya barabara za ndani ya mtaa huo ambazo zimekuwa na mashimo na kutopitika kipindi cha mvua umekamilika na kuanza kufanyiwa kazi hivi karibuni. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Tandika jijini Dar es salaam, Diwani Ramadhani amesema kuwa kumekuwa na kero hiyo ambapo kipindi cha mvua maji hujaa kwenye madimbwi yaliyopo barabarani na kuingia kwenye nyumba za watu. Ameongeza kuwa tayari amefanikiwa kupata...

Like
301
0
Wednesday, 16 March 2016