Local News

PROF. MBARAWA: SERIKALI BADO INA MASHAKA NA WATENDAJI ATCL
Local News

WAZIRI wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Profesa  Makame Mbarawa amesema Serikali bado ina mashaka na watendaji wa shirika la ndege la taifa ATCL na ili kuondoa dukuduku hilo inaendelea na uchunguzi wa kuwabaini watendaji wote waliohusika kulihujumu shirika hilo. Profesa Mbalawa ameyasema hayo jijini Mwanza kwenye mkutano wa sita wa sekta ya uchukuzi  katika ukanda wa Afrika ya kati kwa lengo la kutathmini maendeleo katika sekta hiyo pamoja na changamoto zake  uliowakutanisha mawaziri wa sekta hiyo kutoka nchi tano za...

Like
190
0
Monday, 15 February 2016
NJOMBE: UONGOZI WA HOSPOTALI YA HALMASHAURI UMEPEWA SIKU 90 KUREKEBISHA MAPUNGUFU YA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA
Local News

UONGOZI wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe umepewa muda wa siku 90 kurekebisha mapungufu ya utoaji wa huduma za afya, vinginevyo  hospitali hiyo itafungwa.   Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla wakati akizungumza na viongozi, Mganga Mkuu wa Mkoa, Samwel Mgema na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Imelda Mwenda na watumishi wa hospitali hiyo. Dkt. Kigwangalla alitoa agizo kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa hospitali, vituo vya afya...

Like
310
0
Monday, 15 February 2016
KIGWANGALLA: TUTAENDELEA KUTUMBUA MAJIPU
Local News

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Dk. Hamisi Kigwangalla amesema kwamba wao kama viongozi wataendelea kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli kutumbua majibu yanayokwamisha kutokupatikana kwa huduma bora za afya ,bila kuogopa wala kumwonea mtu kwa ajili ya maslahi ya  taifa.   Dokta Kigwangala ameyasema hayo  wakati wa maadhimisho ya 24 ya ibada maalum ya kuwaombea  wagonjwa Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika katika jimbo Kuu la Tabora  na baadae kwenye...

Like
182
0
Friday, 12 February 2016
TRA YANASA SHEHENA KUBWA YA BIDHAA ZA MAGENDO
Local News

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukamata bidhaa za magendo kwenye maeneo mbalimbali ya Ukanda  wa Bahari ya Hindi, Ziwa Victoria na mipakani.   Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi (TRA) Bw. Richard Kayombo katika mahojiano maalum yaliyofanyika  ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kuhusu juhudi za operesheni ya kutokomeza bidhaa za magendo nchini.   Amesema kuwa katika operesheni hiyo, TRA imefanikiwa kukusanya kodi ya zaidi ya shilingi milioni kumi kutoka katika bidhaa zilizokuwa...

Like
253
0
Friday, 12 February 2016
WANANCHI WATAKIWA KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO
Local News

WIZARA ya afya maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto imewataka wananchi kuhakikisha wana wapeleka watoto wote kwenye vituo husika vya Afya ili wapatiwe Chanjo na kinga ya kichocho ili kuwanusuru na ugonjwa wa kichocho. Rai hiyo imetolewa keo jijini Dar es salaamu na mratibu wa magonjwa yasiyopewa kipaumbele Pendo Mwingira ambapo amesema wizara ya afya kwa kushirikiana na shirika la afya duniani WHO limeaamua kutoa chanjo ya kumkinga mtoto dhidi ya Ugonjwa wa kichocho kwa kuwa huwaathiri zaidi watoto....

Like
188
0
Tuesday, 02 February 2016
SERIKALI YAJIPANGA KUBORESHA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI
Local News

SERIKALI imejipanga kuhakikisha inaboresha zaidi mpango wa kunusuru Kaya masikini nchini ujulikanao kama TASAF kwa awamu ya tatu kwa kutengeneza miundombinu mizuri ya kutambua Kaya zinazolengwa.   Akijibu swali la Mheshimiwa Magdalena Hamisi Sakaya Mbunge wa Kaliua (CUF), leo Bungeni mjini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Angella Kairuki amesema mpango wa kunusuru Kaya masikini hutambulishwa kijijini na wataalam kutoka Halmashauri husika.   Aidha Mheshimiwa Kairuki amesema kuwa...

Like
170
0
Tuesday, 02 February 2016
MWONGOZO WA KUANDAA BAJETI WAWASILISHWA BUNGENI LEO
Local News

WIZARA ya Fedha na Mipango leo imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa maendeleo ya Taifa pamoja na mwongozo wa kuandaa mpango na bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 unaolenga utekelezwaji wa vipaumbele mbalimbali vya kuleta maendeleo. Akiwasilisha mapendekezo ya mpango na mwongozo huo Bungeni Mjini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango dokta Philip Mpango amesema kuwa mpango huo unalenga kuinua kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa. Awali mpango huo haukuweza kujadiliwa siku chache zilizopita kutokana na serikali kuuwasilisha kimakosa hali...

Like
291
0
Monday, 01 February 2016
WAFANYAKZI KAMPUNI YA CHIKO KUSHINIKIZA KUBORESHEWA MASLAHI YAO
Local News

ZAIDI ya wafanyakazi 800 wa kampuni ya ujenzi ya chiko ya Jamuhuri ya china inayojenga barabara kuu ya Dodoma Babati eneo la mayamaya mpaka mela wamegoma wakishinikiza uongozi wa kampuni hiyo uboreshe maslahi yao kwa kuwapatia mikataba pamoja na kuongeza mishahara  huku wakitaka serikali kuwafukuza wafanyakazi wa kigeni ambao wanapora ajira zinazoweza  kufanywa na wazawa huku wakilipwa mamilioni ya fedha.   Wakizungumza mbele ya waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano profesa Makame mbarawa wafanyakazi hao wamesema wamechoshwa na...

Like
188
0
Monday, 01 February 2016
EFM YAKABIDHIWA MICHORO YA MADARASA KUTOKA KWA AFISA ELIMU, KINONDONI
Local News

Efm Radio,katika harakati zakufanikisha ahadi ya kujenga madarasa, imekabidhiwa michoro ya ramani ya madarasa ya sekondari wilaya ya Kinondoni kata ya Kimara, Makabidhiano yaliyofanyika  katika ofisi za Kituo hicho cha Utangazaji kupitia masafa ya 93.7 leo asubuhi. Mkurugenzi Mkuu wa Efm Radio, Francis Siza akipokea ramani ya michoro ya madarasa kutoka kwa Afisa elimu wa wilaya ya Kinondoni Bwana Rogers J. Shemwelekwa. Afisa elimu wa wilaya ya Kinondoni Bw. Rogers J. Shemwelekwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Efm...

Like
715
0
Monday, 01 February 2016
MACHAFUKO BURUNDI: RAIA 126000 WAKIMBILIA TANZANIA
Local News

IMEELEZWA kuwa zaidi ya raia laki 126,000 wa Burundi wamekimbilia nchini Tanzania tangu mwezi Aprili, 2015, kufuatia machafuko ya kisiasa nchini humo. Huku tayari wakimbizi  elfu 64,000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) wakiwa tayari nchini. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon  ametoa dola za Marekani milioni 100, sawa na shilingi za Tanzania bilioni 220 kutoka katika Mfuko Mkuu wa Kushughulikia Dharura wa Umoja wa Mataifa -CERF kwa shughuli za misaada katika maeneo tisa yenye dharura duniani...

Like
222
0
Monday, 01 February 2016
RAIS MAGUFULI ASIKITISHWA NA KIFO CHA RUBANI MUINGEREZA ALIYEUAWA NA MAJANGILI
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Mmuungano wa Tanzania Dokta  John Pombe Magufuli amesema amesikitishwa na kitendo cha kuuawa kwa rubani Mwingereza aliyekuwa akisaidiana na maafisa wa Tanzania kupambana na ujangili. Rubani wa helkopta Kapteni Roger Gower, alifariki baada ya majangili kuifyatulia risasi na kuidondosha helkopta aliyokuwa akiiendesha wakati alipoungana na askari wanyamapori waliokuwa wakikabiliana na majangili katika pori la akiba lililopo katika wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu. Askari mmoja wa Tanzania alijeruhiwa wakati wa tukio hilo ambapo...

Like
274
0
Monday, 01 February 2016