Sports

PEP GUARDIOLA AFIKIA TAMATI BAYERN
Slider

  Pep Guardiola kuondoka Bayern Munich mwishoni mwa msimu na nafasi yake kuchukuliwa na Carlo Ancelotti .   Guardiola, 44, amekuwa akitajwa kujiunga na moja kati ya klabu za  Manchester City, Manchester United, Chelsea na Arsenal. Mwalimu huyu wa zamani wa Barcelona amefanikiwa kutwaa mataji mawili ya ligi na kombe la Ujerumani toka ajiunge na Bayern katika msimu wa kiangazai mwaka 2013.   Bosi wa zamani wa klabu ya Chelsea Ancelotti, 56, amekuwa akipewa kipaumbele kujiunga na Bayern toka kibarua chake...

Like
208
0
Monday, 21 December 2015
VIBURI VYA WACHEZAJI WA KIGENI,VINAVYOVURUGA MIPANGO YA SIMBA NA YANGA.
Slider

Na Omary Katanga. Ni jambo la kawaida kuwepo na wachezaji wa kigeni katika Klabu za soka kwenye mataifa mbalimbali,lengo likiwa ni kuongeza ushindani na kutoa changamoto kwa wachezaji wazawa ili nao waongeze juhudi katika usakataji kandanda uwanjani. Lakini uwepo huo wa wachezaji wa kigeni,unategemea sana uwezo wa kifedha kwa klabu husika kutokana na ukweli kwamba huwa wanalipwa kiasi kikubwa cha mshahara na marupurupu mengine kuliko mchezaji wa ndani,na hii inadhihirisha pia utofauti wa kiuchezaji kati yao. Klabu za Simba na...

Like
353
0
Saturday, 19 December 2015
E-FM YAILAZA BOKO BEACH VETERANI 3-1
Slider

E-fm imeufunga mwaka kimichezo kwa kipute cha dakika 90 za mpira wa miguu dhidi ya maveterani wa Boko Beach katika uwanja wa Boko Beach. E-fm ilifanikiwa kutawala mchezo katika kipindi cha kwanza na kuweza kuzitandika nyavu za Boko Beach Veterani magoli mawili. Kasi ya mchezo ilibadilika katika kipindi cha pili baada ya E-fm kuandika bao lake la tatu kupitia nyota wake John Makundi, goli hilo liliamsha kikosi cha Boko Beach Veterani  kwa kuutumia vizuri mpira wa adhabu kwa E-fm kujipatia...

Like
478
0
Saturday, 19 December 2015
MAISHA YA MOURINHO YAFIKIA TAMATI NDANI YA CHELSEA
Slider

Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya. The Blues walishinda Ligi ya Premia msimu uliopita lakini msimu huu mambo yamekuwa kinyume, na wamo alama moja tu juu ya eneo la kushushwa daraja ligini. Bodi ya klabu hiyo ilikutana jana kujadili hatima ya Mourinho chini ya mmiliki wa klabu hiyo, Mrusi Roman Abramovich. Klabu hiyo kupitia taarifa imesema mkataba kati ya klabu na meneja hiyo umekatishwa kwa maelewano kati ya...

Like
222
0
Friday, 18 December 2015
SUAREZ AIBEBA BARCELONA
Slider

Luis Suárez awa mchezaji wa kwanza kufunga hat trick katika michuano ya klabu bingwa dunia huko nchini Japan, rekodi hiyo imewekwa na nyota huyu muda mfupi uliopita katika mchezo kati ya Barcelona vs Guangzhou mechi iliyomalizika kwa Barcelona kuibuka na ushindi wa...

Like
177
0
Thursday, 17 December 2015
PAT NEVIN: SIDHANI KAMA MOURINHO ANAWEZA KUTIMULIWA
Slider

Uvumi kuhusu hatma ya maisha ya boss wa Chelsea Jose Mourinho huenda ni miongoni mwa mambo yanayojadiliwa zaidi kwenye ulimwengu wa soka kwa sasa. Chelsea imekuwa ikifanya vibaya kwenye michezo yake hali iliyopelekea hadi Mourinho kutoa kauli ya kuwa anasalitiwa na wachezaji wake. Akizungumza kuhusu hatma ya boss huyu Pat Nevin mchezaji wa zamani wa klabu hiyo amesema tetesi za kutimuliwa kazi kwa boss huyo si jambo geni na hadhani kama linaweza kutokea Nevin ameongeza kuwa anakubali kuwa hatma ya...

Like
239
0
Thursday, 17 December 2015
ARSENAL USO KWA USO NA BARCELONA
Slider

  Wakati Chelsea kukipiga tena na Paris St-Germain, Ratiba ya hatua ya 16 bora michuano ya klabu bingwa barani Ulaya   HII NDIO RATIBA KAMILI   Gent v Wolfsburg   Roma v Real Madrid   Paris St-Germain v Chelsea   Arsenal v Barcelona   Juventus v Bayern Munich   PSV Eindhoven v Atletico Madrid   Benfica v Zenit St Petersburg   Dynamo Kiev v Manchester City...

Like
182
0
Monday, 14 December 2015
MAWAKALA ONGOZENI WACHEZAJI KUSOMA MIKATABA KABLA YA KUISAINI.
Slider

Na. Omary Katanga………………………………..+255784500028 Kila unapofika wakati wa usajili kwa wachezaji kutoka klabu moja kwenda kujiunga na klabu nyingine,malalamiko,vitisho,ubabe na hata kutunishiana misuli kwa baadhi ya viongozi wa klabu kwa kile kinachoonekana wengine kufuata kanuni na wengine kuzitupilia mbali. Tofauti na Tanzania,kwa upande wa nchi nyingine zilizoendelea kisoka duniani huwezi kusikia malalamiko kama hayo yaliyopo hapa nchini kuhusu usajili,na hii ni kutokana na utaratibu mzuri uliokuwepo kati ya...

Like
219
0
Monday, 14 December 2015
RUFAA YA PLATINI YAPIGWA CHINI
Slider

Rais wa Shirikisho la Soka Ulaya Uefa Michel Platini ameshindwa katika rufaa yake ya kutaka marufuku ya siku 90 dhidi yake iondolewe. Alikuwa amewasilisha rufaa akitaka marufuku ya kutojihusisha na soka kwa miezi mitatu iondolewe kumuwezesha kuendelea na kazi lakini hilo limekataliwa na Mahakama ya Mizozo ya Michezo. Platini, 60, alisimamishwa kazi pamoja na rais wa Fifa Sepp Blatter mwezi Oktoba huku uchunguzi wa madai ya rushwa dhidi yao yakiendelea kuchunguzwa. Wote wawili wamekanusha tuhuma...

Like
222
0
Friday, 11 December 2015
TP MAZEMBE USO KWA USO NA SANFRECCE HIROSHIMA
Slider

Mabingwa wa Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo watakutana na timu ya Sanfrecce Hiroshima kutoka Japan hatua ya robofainali fainali za Kombe la Dunia la Klabu Jumapili. Washindi wa ligi ya Japan Sanfrecce Hiroshima wamelaza mabingwa wa Oceania Auckland City 2-0 leo kwenye mechi iliyochezewa Yokohama. TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa Mshindi wa mechi kati ya Mazembe na Hiroshima atakutana na mabingwa wa Amerika Kusini River Plate ya Argentina nusufainali Desemba...

Like
235
0
Friday, 11 December 2015
ARNOLD PERALTA APIGWA RISASI NA KUFARIKI DUNIA
Slider

Mchezaji wa kimataifa wa Honduras Arnold Peralta apigwa risasi na kufa wakati akiwa mapumzikoni kwenye mji wake wa nyumbani. Mauaji hayo yametokea kwenye maegesho ya magari katika eneo la maduka huko La Ceiba kwenye ufukwe wa Caribbean ambapo chanzo cha uvamizi huo hakijawekwa wazi. Kiungo huyo mwenye miaka 26 anaeichezea klabu ya Olimpia kwenye jiji kuu la Tegucigalpa Taifa hili la Honduras linatajwa kuwa moja ya nchi za viwango vya juu vya makundi ya uhali duniani. Osman Madrid mkurugenzi wa...

Like
248
0
Friday, 11 December 2015