Damas Daniel Ndumbaro Ateuliwa Kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani

Damas Daniel Ndumbaro Ateuliwa Kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani

Like
1029
0
Wednesday, 26 September 2018
Local News

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Damas Daniel Ndumbaro kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akichukua nafasi ya Susan Kolimba ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Aidha, Magufuli amemteua Dkt Faraji Mnyepe kuwa Katibu Mkuu Wizara hiyo ya Mambo ya Nje akichukua nafasi ya Prof Adolf Mkenda.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *