DONDOO ZA MCHEZO WA CRICKET

DONDOO ZA MCHEZO WA CRICKET

Like
282
0
Thursday, 25 December 2014
Slider

Nahodha wa timu ya taifa ya Cricket, Micahel Clark amepata matumaini mapya ya kurudi uwanjani mapema kabla ya michuano ya kombe la dunia baada ya madaktari kumfanyia upasuaji wa misuli.

Clark aliumia katika mchezo dhidi ya timu ya taifa ya India huko Adelade kwa timu ya taifa ya Australia kuibuka na ushindi wa rani 48 kwac sifuri.

Australia itaanda michuano ya kombe la dunia kwa kushirikian na taifa la New Zealand kuanzia tarehe 14 mwezi wa pili mwaka 2015.

Micahel Clark mwenye umri wa miaka 33 amekuwa akiandamwa na majeraha ya mara kwa mara mwaka huu ikiwamo kuumia bega na mgongo.

Comments are closed.