Efm  FC Yaendeleza  ubabe kwa Bongo Fleva FC, Yaitandika bao 1-0

Efm FC Yaendeleza ubabe kwa Bongo Fleva FC, Yaitandika bao 1-0

Like
919
0
Sunday, 20 May 2018
Shika Ndinga

Wachezaji wa Bongo fleva wakiwa tayari kuingia uwanjani

Malekezo ya kocha yakitolewa kwa wachezaji wa Bongo fleva Fc  muda wa kipindi cha mapumziko.

Kapteni wa Bongo fleva, Papii Kocha akitoa maelekezo kwa wachezaji wenzake

Msaga sumu, na Stamina wakiwa na wafanyakazi wa Efm, wa kwanza kulia, Swebe Santana(Mtangazaji wa Kipindi cha Uhondo), na wa kwanza kushoto na Stiven Magombeka(mkuu wa Kitengo cha Digital)

Mechi ikiendelea

Mashabiki wa Bongo fleva Fc

Mchezaji wa Bongo Fleva, akikokota mpira

Efm imeendeleza ubabe kwa Bongofleva kwa kuwatandika bao 1-0, mchezo huo uliopigwa kwenye viwanja vya Tanganyika Peckers ambapo kulikuwa na final ya Shika ndinga 2018.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *