Elimu: Kasoro zagunduliwa kwenye vitabu vya shule Kenya, wa kulaumiwa nani?

Elimu: Kasoro zagunduliwa kwenye vitabu vya shule Kenya, wa kulaumiwa nani?

Like
573
0
Tuesday, 16 October 2018
Global News

Utaratibu wa mitaala mipya ya elimu barani Afrika hata duniani kote ni jambo la lazima kuwepo kutokana na mabadiliko ya yanajitokeza kila siku.

Wataalamu wa elimu wanasema kwamba umuhimu mkubwa wa kuithinisha kwa mitaala mipya kwa sababu tekinolojia imebadilika sana, uwezo wa watoto pia umebadilika na hata utendaji wa kazi au ajira zimebadilika hivyo hata elimu yetu inapaswa kubadilika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *